news

Watanzania wanatimuliwa Msumbiji

Mamia ya raia wa Tanzania wanaoishi na kufanya biashara katika mji wa Montepuez nchini Msumbiji wameanza kuvuka mpaka na kurejea nchini mwao huku wengine wakikimbilia porini kuepuka vitendo vya kikatili vinavyodaiwa kufanywa na askari nchi hiyo wanaoendesha msako dhidi ya wahamiaji haramu.

Mwandishi wetu Omar Mutasa kutoka Afrika Kusini amefanya mahojiano na kaimu Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Bi Helena Kaffumba na kumuuliza kwa nini kumekuwa na hali hiyo nchini Msumbiji

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *